Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 73:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nilikuwa kama mjinga, sijui neno; Nilikuwa kama mnyama tu mbele zako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

nilikuwa mpumbavu na mjinga, nilikuwa kama mnyama mbele yako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

nilikuwa mpumbavu na mjinga, nilikuwa kama mnyama mbele yako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

nilikuwa mpumbavu na mjinga, nilikuwa kama mnyama mbele yako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

nilikuwa mpumbavu na mjinga, nilikuwa mnyama mkatili mbele yako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

nilikuwa mpumbavu na mjinga, nilikuwa mnyama mkatili mbele yako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nilikuwa kama mjinga, sijui neno; Nilikuwa kama mnyama tu mbele zako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 73:22
9 Marejeleo ya Msalaba  

Twahesabiwa kuwa wanyama kwa sababu gani, Tena kuwa wanajisi machoni pako?


Msiwe kama farasi wala nyumbu, Wasiokuwa na akili. Kwa matandiko ya lijamu na hatamu Sharti kuwazuia hao, au hawatakukaribia.


Naam, ataliona, hata wenye hekima hufa; Mpumbavu na mjinga hupotea pamoja, Na kuwaachia wengine mali zao.


Ee Mungu, unajua upumbavu wangu, Wala hukufichwa dhambi yangu.


Mtu mjinga hayatambui hayo, Wala mpumbavu hayafahamu.


Hata wasio haki wakichipuka kama majani Na wote watendao maovu wakastawi. Mwishowe wataangamizwa milele;


Hakika nimekuwa kama mnyama, wala si mtu; Wala sina ufahamu wa mwanadamu;


Nikasema moyoni mwangu, Ni kwa sababu ya wanadamu, ili Mungu awajaribu, nao waone ya kuwa wao wenyewe wafanana na wanyama.


Ng'ombe amjua bwana wake, Na punda ajua kibanda cha bwana wake; Bali Israeli hajui, watu wangu hawafikiri.