Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 73:21 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Moyo wangu ulipoona uchungu, Viuno vyangu viliponichoma,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nilipoona uchungu moyoni na kuchomwa rohoni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nilipoona uchungu moyoni na kuchomwa rohoni,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nilipoona uchungu moyoni na kuchomwa rohoni,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Moyo wangu ulipohuzunishwa, na roho yangu ilipotiwa uchungu,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wakati moyo wangu ulipohuzunishwa, na roho yangu ilipotiwa uchungu,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Moyo wangu ulipoona uchungu, Viuno vyangu viliponichoma,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 73:21
5 Marejeleo ya Msalaba  

Wapigaji wake wa mishale hunizingira kotekote, Hunipasua figo zangu, asinihurumie; Nyonga zangu amezimwaga juu ya nchi.


Usihangaike kwa sababu ya watenda mabaya, Usiwahusudu wafanyao ubatili.


Utulie mbele za BWANA, Nawe umngojee kwa subira; Usihangaike juu ya afanikiwaye katika njia yake, Wala mtu apangaye maovu.


Maana niliwaonea wivu wenye kujivuna, Nilipoiona hali ya amani ya wasio haki.


Amenichoma viuno Kwa mishale ya podo lake.