Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 73:15 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kama ningalisema, Nitasimulia kama hayo; Kumbe! Ningaliwadanganya kizazi cha wana wako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kama ningalisema hayo kama wao, ningalikuwa mhaini miongoni mwa watu wako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kama ningalisema hayo kama wao, ningalikuwa mhaini miongoni mwa watu wako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kama ningalisema hayo kama wao, ningalikuwa mhaini miongoni mwa watu wako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kama ningesema, “Nitasema hivi,” ningekuwa nimewasaliti watoto wako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama ningesema, “Nitasema hivi,” ningelikuwa nimewasaliti watoto wako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kama ningalisema, Nitasimulia kama hayo; Kumbe! Ningaliwadanganya kizazi cha wana wako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 73:15
10 Marejeleo ya Msalaba  

Hapo ndipo waovu watakaposhikwa na hofu nyingi, Maana Mungu yupo pamoja na kizazi cha haki.


Wazawa wake watamtumikia. Zitasimuliwa habari za BWANA, Kwa kizazi kitakachokuja,


Hiki ndicho kizazi cha wamtafutao, Wakutafutao uso wako, Ee Mungu wa Yakobo.


Bali ninyi mmegeuka mkaiacha njia; mmewakwaza watu wengi katika sheria; mmeliharibu agano la Lawi, asema BWANA wa majeshi.


Na ndugu yako akichukizwa kwa sababu ya chakula, umeacha kwenda katika upendo. Kwa chakula chako usimharibu mtu yule ambaye Kristo alikufa kwa ajili yake.


Ni vyema kutokula nyama wala kunywa divai wala kutenda neno lolote ambalo kwa hilo ndugu yako hukwazwa.


Bali ninyi ni uzao mteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu;


Sivyo hivyo, wanangu, kwa maana habari hii ninayoisikia si habari njema; mnawakosesha watu wa BWANA.