Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 73:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nao husema, Mungu ajuaje? Yako maarifa kwake aliye juu?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wanasema: “Mungu hawezi kujua! Mungu Mkuu hataweza kugundua!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wanasema: “Mungu hawezi kujua! Mungu Mkuu hataweza kugundua!”

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wanasema: “Mungu hawezi kujua! Mungu Mkuu hataweza kugundua!”

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Wanasema, “Mungu awezaje kujua? Je, Yeye Aliye Juu Sana anayo maarifa?”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Wanasema, “Mungu awezaje kujua? Je, Yeye Aliye Juu Sana anayo maarifa?”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nao husema, Mungu ajuaje? Yako maarifa kwake aliye juu?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 73:11
10 Marejeleo ya Msalaba  

Asema moyoni mwake, Mungu amesahau, Auficha uso wake, haoni kamwe.


Mdhalimu kwa kiburi cha uso wake Asema, Mungu Hatapatiliza. Mawazo yake yote ni, Hakuna Mungu;


Je! Mungu hangegundua jambo hilo? Maana ndiye azijuaye siri za moyo.


Wameweka kinywa chao mbinguni, Na ulimi wao hutangatanga duniani.


Nao husema, BWANA haoni; Mungu wa Yakobo hatambui.


Kisha akaniambia, Mwanadamu, umeyaona wanayotenda wazee wa nyumba ya Israeli gizani, kila mtu ndani ya vyumba vyake vya sanamu? Maana husema, BWANA hatuoni; BWANA ameiacha nchi hii.


Wala hawafikiri mioyoni mwao ya kwamba naukumbuka uovu wao wote; sasa matendo yao wenyewe yamewazunguka pande zote; yako mbele za uso wangu.


Kisha itakuwa wakati ule, nitauchunguza Yerusalemu kwa taa; nami nitawaadhibu watu walioganda juu ya masira yao; wasemao katika mioyo yao, BWANA hatatenda mema, wala hatatenda mabaya.