Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 72:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wakaao jangwani na wainame mbele zake; Adui zake na warambe mavumbi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maadui zake wakaao nyikani wanyenyekee mbele yake, washindani wake walambe vumbi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maadui zake wakaao nyikani wanyenyekee mbele yake, washindani wake walambe vumbi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maadui zake wakaao nyikani wanyenyekee mbele yake, washindani wake walambe vumbi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Makabila ya jangwani watamsujudia, na adui zake wataramba mavumbi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Makabila ya jangwani watamsujudia, na adui zake wataramba mavumbi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wakaao jangwani na wainame mbele zake; Adui zake na warambe mavumbi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 72:9
12 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA Mungu akamwambia nyoka, Kwa sababu umeyafanya hayo, umelaaniwa wewe kuliko wanyama wote, na kuliko hayawani wote walioko mwituni; kwa tumbo utakwenda, na mavumbi utakula siku zote za maisha yako;


na Baalathi, na Tamari ulio nyikani, katika nchi;


Neno la BWANA kwa Bwana wangu, Uketi upande wangu wa kulia, Hadi niwafanyapo adui zako Kuwa chini ya miguu yako.


Atahukumu kati ya mataifa, Ataijaza nchi mizoga; Atawaponda wakuu katika nchi nyingi.


Utawaponda kwa fimbo ya chuma, Na kuwavunja kama chombo cha mfinyanzi.


Wakwasi wote wa dunia watakula na kusujudu, Humwinamia wote washukao mavumbini; Naam, yeye asiyeweza kujihuisha nafsi yake,


Na wafalme watakuwa baba zako walezi, na malkia zao mama zako walezi; watainama mbele yako kifudifudi, na kuramba mavumbi ya miguu yako; nawe utajua ya kuwa mimi ni BWANA, tena waningojeao hawatatahayarika.


Watayaramba mavumbi kama nyoka, kama vitu vitambaavyo juu ya nchi watatoka katika mahali walimojificha, wakitetemeka; watakuja kwa BWANA, Mungu wetu, kwa hofu, nao wataogopa kwa sababu yako.


Tena, wale adui zangu, wasiotaka niwatawale, waleteni hapa muwachinje mbele yangu.