Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 7:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kusanyiko la mataifa na likuzunguke, Na juu yake uketi utawale.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Uyakusanye mataifa kandokando yako, nawe uyatawale kutoka juu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Uyakusanye mataifa kandokando yako, nawe uyatawale kutoka juu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Uyakusanye mataifa kandokando yako, nawe uyatawale kutoka juu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kusanyiko la watu na likuzunguke. Watawale kutoka juu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kusanyiko la watu na likuzunguke. Watawale kutoka juu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kusanyiko la mataifa na likuzunguke, Na juu yake uketi utawale.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 7:7
13 Marejeleo ya Msalaba  

Ingawa BWANA yuko juu, anamjali mnyenyekevu, Naye amjua mwenye kujivuna tokea mbali.


Uamke, uwe macho ili kunipatia hukumu Kwa ajili ya madai yangu, Mungu wangu na Bwana wangu.


Ee Bwana, unihukumu, unitetee kwa taifa lisilo haki, Uniokoe kutoka kwa mtu wa hila asiye haki.


Na ufurahi mlima Sayuni. Binti za Yuda na washangilie Kwa sababu ya hukumu zako.


Na Wewe, BWANA, Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, uinuke. Uwapatilize mataifa yote; Usimrehemu hata mmoja wa wale wapangao maovu kwa hila.


Kupita sauti ya maji mengi, maji makuu, Kupita mawimbi ya bahari yaumkayo, BWANA Aliye Juu ndiye mwenye ukuu.


Maana yeye aliye juu, aliyetukuka, akaaye milele; ambaye jina lake ni Mtakatifu; asema hivi; Nakaa mimi mahali palipoinuka, palipo patakatifu; tena pamoja na yeye aliye na roho iliyotubu na kunyenyekea, ili kuzifufua roho za wanyenyekevu, na kuifufua mioyo yao waliotubu.


Furahini juu yake, enyi mbingu, na enyi watakatifu, mitume na manabii; kwa maana Mungu ametoa hukumu kwa ajili yenu juu yake.


kwa kuwa hukumu zake ni za kweli na haki; maana amemhukumu yule kahaba mkuu aliyeiharibu nchi kwa uasherati wake, na kuipatiliza damu ya watumwa wake mkononi mwake.