Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 7:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Asije akaipapura nafsi yangu kama simba, Akaniburura hadi pasipokuwa na wa kuniponya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

La sivyo, watakuja kunirarua kama simba, wakanivutia mbali, pasiwe na wa kuniokoa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

La sivyo, watakuja kunirarua kama simba, wakanivutia mbali, pasiwe na wa kuniokoa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

La sivyo, watakuja kunirarua kama simba, wakanivutia mbali, pasiwe na wa kuniokoa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

la sivyo watanirarua kama simba na kunichana vipande vipande, asiwepo wa kuniokoa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

la sivyo watanirarua kama simba na kunichana vipande vipande, asiwepo wa kuniokoa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Asije akaipapura nafsi yangu kama simba, Akaniburura hadi pasipokuwa na wa kuniponya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 7:2
18 Marejeleo ya Msalaba  

Nami mjakazi wako nilikuwa na wana wawili, na hao wawili wakashindana uwandani, wala hapakuwa na mtu wa kuwaamua, lakini mmoja akampiga mwenzake, akamwua.


Ujapojua ya kuwa mimi si mwovu; Wala hapana awezaye kuokoa kutoka kwa mkono wako?


Huotea faraghani kama simba pangoni, Huotea amkamate mtu mnyonge. Naam, humkamata mtu mnyonge, Na kumkokota akiwa wavuni mwake.


BWANA ndiye niliyemkimbilia. Mbona mnaiambia nafsi yangu, Kimbia kama ndege mlimani kwenu?


Mungu, unihifadhi mimi, Kwa maana nakukimbilia Wewe.


Kama mfano wa simba atakaye kurarua, Kama mwanasimba aoteaye katika maotea yake.


Wananifumbulia vinywa vyao, Kama simba apapuraye na kunguruma.


Unitegee sikio lako, uniokoe hima. Uwe kwangu mwamba wa nguvu, Ngome thabiti ya kuniokoa.


Lakini nikijikwaa wanafurahi na kukusanyana, Walinikusanyikia watu ovyo nisiowajua, Wakanipapura bila kukoma.


Yafahamuni hayo, Ninyi mnaomsahau Mungu, Nisije nikawararueni, Asipatikane wa kuwaokoa.


Uniponye nao wafanyao maovu, Uniokoe na watu wa damu.


Ghadhabu ya mfalme ni kama ngurumo ya simba; Bali hisani yake kama umande juu ya majani.


Nilijituliza hata asubuhi; kama simba, anaivunja mifupa yangu yote; Tangu mchana hata usiku wanimaliza.


Na Gadi akamnena, Na abarikiwe amwongezaye Gadi; Yeye hukaa kama simba mke, Hurarua mkono, naam, na utosi wa kichwa.


Lakini Bwana alisimama pamoja nami akanitia nguvu, ili kwa kazi yangu ule ujumbe utangazwe kwa utimilifu, hata wasikie Mataifa yote; nami nikaokolewa kutoka kwa kinywa cha simba.


Muwe na kiasi na kukesha; kwa kuwa mshitaki wenu Ibilisi, kama simba angurumaye, huzunguka zunguka, akitafuta mtu ammeze.


Wala hakukuwa na mwokozi, kwa sababu huo mji ulikuwa mbali sana na Sidoni, nao hawakutangamana na watu wowote wale; na mji huo ulikuwa katika hilo bonde lililo karibu na Bethrehobu. Nao wakaujenga huo mji na kukaa humo.