Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 7:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mungu ni mwamuzi mwenye haki, Naam, Mungu akasirikiaye waovu kila siku.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mungu ni hakimu wa haki; kila siku hulaumu maovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mungu ni hakimu wa haki; kila siku hulaumu maovu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mungu ni hakimu wa haki; kila siku hulaumu maovu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mungu ni mwamuzi mwenye haki, Mungu anayeghadhibika kila siku.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mungu ni mwamuzi mwenye haki, Mungu aghadhibikaye kila siku.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mungu ni mwamuzi mwenye haki, Naam, Mungu akasirikiaye waovu kila siku.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 7:11
6 Marejeleo ya Msalaba  

Na mbingu zitatangaza haki yake, Kwa maana Mungu ndiye aliye hakimu.


BWANA atawaamua mataifa, BWANA, unihukumu mimi, Kwa kadiri ya haki yangu, Kulingana na unyofu nilio nao.


Maana hukumu itarejea kwa wenye haki, Na wote walio wanyofu wa moyo wataifuata.


BWANA ni Mungu mwenye wivu, naye hujilipiza kisasi; BWANA hujilipiza kisasi, naye ni mwingi wa hasira; BWANA hujilipiza kisasi juu ya adui zake, huwawekea adui zake akiba ya hasira.


Ni nani awezaye kusimama mbele za ghadhabu yake, naye ni nani awezaye kukaa katika ukali wa hasira yake? Hasira yake kali humwagwa kama moto, nayo majabali yapasuliwa na yeye.