Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 69:7 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maana kwa ajili yako nimestahimili laumu, Fedheha imenifunika uso wangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa ajili yako nimefedheheshwa, aibu imefunika uso wangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa ajili yako nimefedheheshwa, aibu imefunika uso wangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa ajili yako nimefedheheshwa, aibu imefunika uso wangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa maana nimestahimili dharau kwa ajili yako, aibu imefunika uso wangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa maana nimestahimili dharau kwa ajili yako, aibu imefunika uso wangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana kwa ajili yako nimestahimili laumu, Fedheha imenifunika uso wangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 69:7
13 Marejeleo ya Msalaba  

Mchana kutwa fedheha yangu i mbele yangu, Na aibu imeufunika uso wangu,


Hasha! Kwa ajili yako tunauawa mchana kutwa; Tunafanywa kama kondoo waendao kuchinjwa.


Niliwatolea wapigao mgongo wangu, na wang'oao ndevu mashavu yangu; sikuficha uso wangu usipate fedheha na kutemewa mate.


Alidharauliwa na kukataliwa na watu; Mtu wa huzuni nyingi, ajuaye sikitiko; Na kama mtu ambaye watu humficha nyuso zao, Alidharauliwa wala hatukumhesabu kuwa kitu.


Ee BWANA, unajua wewe; unikumbuke, unijie, ukanilipizie kisasi juu yao wanaoniudhi; usiniondoe kwa uvumilivu wako; ujue ya kuwa ni kwa ajili yako nilivyopatikana na matukano.


Basi Herode akamdhalilisha, pamoja na askari wake, akamdhihaki, na kumvika mavazi mazuri; kisha akamrudisha kwa Pilato.


tukimtazama Yesu, mwenye kuanzisha na mwenye kutimiza imani yetu; ambaye kwa ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake aliustahimili msalaba na kuidharau aibu, naye ameketi katika mkono wa kulia wa kiti cha enzi cha Mungu.