Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 69:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ee Mungu, unajua upumbavu wangu, Wala hukufichwa dhambi yangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ee Mungu, waujua upumbavu wangu; makosa yangu hayakufichika kwako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ee Mungu, waujua upumbavu wangu; makosa yangu hayakufichika kwako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ee Mungu, waujua upumbavu wangu; makosa yangu hayakufichika kwako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ee Mungu, wewe unajua upumbavu wangu, wala hatia yangu haikufichika kwako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ee Mungu, wewe unajua upumbavu wangu, wala hatia yangu haikufichika kwako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ee Mungu, unajua upumbavu wangu, Wala hukufichwa dhambi yangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 69:5
7 Marejeleo ya Msalaba  

Umenijaribu moyo wangu, umenijia usiku, Umenichunguza usione neno; Nimenuia kinywa changu kisikose,


Ni nani awezaye kuyatambua makosa yake? Unitakase na mambo ya siri.


Walio adui zangu bure wasinisimange, Wanaonichukia bila sababu wasining'ong'e.


Majeraha yangu yananuka na kutunga usaha, Kwa sababu ya upumbavu wangu.


Bwana, haja zangu zote ziko mbele zako, Kuugua kwangu hakukusitirika kwako.


Maana macho yangu yaziangalia njia zao zote, hawakufichwa uso wangu usiwaone, wala haukusitirika uovu wao macho yangu yasiuone.