Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 69:34 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mbingu na nchi zimsifu, Bahari na vyote viendavyo ndani yake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Enyi mbingu na dunia msifuni Mungu; bahari na vyote vilivyomo, msifuni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Enyi mbingu na dunia msifuni Mungu; bahari na vyote vilivyomo, msifuni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Enyi mbingu na dunia msifuni Mungu; bahari na vyote vilivyomo, msifuni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mbingu na dunia zimsifu, bahari na vyote viendavyo ndani yake,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mbingu na dunia zimsifu, bahari na vyote viendavyo ndani yake,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mbingu na nchi zimsifu, Bahari na vyote viendavyo ndani yake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 69:34
10 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu akasema, Maji na yajawe kwa wingi na viumbe vyenye uhai, na ndege waruke juu ya nchi katika anga la mbingu.


Kizazi kitakachokuja kitaandikiwa hayo, Na watu watakaoumbwa watamsifu BWANA.


Kila mwenye pumzi na amsifu BWANA. Haleluya.


Mbingu na zifurahi, nchi na ishangilie, Bahari na ivume na vyote viijazavyo,


Imbeni, enyi mbingu; ufurahi, Ee nchi; Pazeni sauti ya kuimba, enyi milima; Kwa kuwa BWANA amewafariji watu wake, Naye atawahurumia watu wake walioteswa.


Maana mtatoka kwa furaha, Mtaongozwa kwa amani; Mbele yenu milima na vilima vitatoa nyimbo; Na miti yote ya shambani itapiga makofi.