Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 69:32 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Walioonewa watakapoona watafurahi; Enyi mmtafutao Mungu, mioyo yenu ihuishwe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Wanyonge wataona hayo na kufurahi; wanaomheshimu Mungu watapata moyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Wanyonge wataona hayo na kufurahi; wanaomheshimu Mungu watapata moyo.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Wanyonge wataona hayo na kufurahi; wanaomheshimu Mungu watapata moyo.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Maskini wataona na kufurahi: ninyi mnaomtafuta Mungu, mioyo yenu na iishi!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Maskini wataona na kufurahi: ninyi mnaomtafuta Mungu, mioyo yenu na iishi!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Walioonewa watakapoona watafurahi; Enyi mmtafutao Mungu, mioyo yenu ihuishwe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 69:32
10 Marejeleo ya Msalaba  

Wapole watakula na kushiba, Wamtafutao BWANA watamsifu; Mioyo yenu na iishi milele.


Wakwasi wote wa dunia watakula na kusujudu, Humwinamia wote washukao mavumbini; Naam, yeye asiyeweza kujihuisha nafsi yake,


Wenye upole atawaongoza katika haki, Wenye upole atawafundisha njia yake.


Katika BWANA nafsi yangu itajisifu, Wanyenyekevu wasikie na kufurahi.


Je! Nile nyama ya mafahali! Au ninywe damu ya mbuzi!


Mtolee Mungu dhabihu za kushukuru; Mtimizie Aliye Juu nadhiri zako.


Basi ninyi hivi sasa mna huzuni; lakini mimi nitawaona tena; na mioyo yenu itafurahi, na furaha yenu hakuna awaondoleaye.


Naye akiisha kusema hayo, akawaonesha mikono yake na ubavu wake. Basi wale wanafunzi wakafurahi walipomwona Bwana.