Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 69:31 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nayo yatampendeza BWANA kuliko ng'ombe, Au ndama mwenye pembe na kwato.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Jambo hili litampendeza Mwenyezi-Mungu zaidi, kuliko kumtolea tambiko ya ng'ombe, kuliko kumtolea fahali mzimamzima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Jambo hili litampendeza Mwenyezi-Mungu zaidi, kuliko kumtolea tambiko ya ng'ombe, kuliko kumtolea fahali mzimamzima.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Jambo hili litampendeza Mwenyezi-Mungu zaidi, kuliko kumtolea tambiko ya ng'ombe, kuliko kumtolea fahali mzimamzima.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hili litampendeza Mwenyezi Mungu kuliko ng’ombe dume, zaidi ya fahali akiwa na pembe na kwato zake.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hili litampendeza bwana kuliko ng’ombe dume, zaidi ya fahali akiwa na pembe na kwato zake.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nayo yatampendeza BWANA kuliko ng'ombe, Au ndama mwenye pembe na kwato.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 69:31
6 Marejeleo ya Msalaba  

Atoaye dhabihu za kushukuru, Ndiye anayenitukuza. Naye autengenezaye mwenendo wake, Nitamwonesha wokovu wa Mungu.


Chukueni maneno pamoja nanyi, mkamrudie BWANA; mkamwambie, Ondoa maovu yote, uyatakabali yaliyo mema; na hivyo ndivyo mtakavyotoa sadaka za midomo yetu kana kwamba ni ng'ombe.


Basi, kwa njia yake yeye, na tumpe Mungu dhabihu ya sifa daima, yaani, tunda la midomo iliungamalo jina lake.


Ninyi nanyi, kama mawe yaliyo hai, mmejengwa muwe nyumba ya Roho, ukuhani mtakatifu, mtoe dhabihu za roho, zinazokubaliwa na Mungu, kwa njia ya Yesu Kristo.