Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 69:30 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo, Nami nitamtukuza kwa shukrani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kwa wimbo nitalisifu jina la Mungu, nitamtukuza kwa shukrani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kwa wimbo nitalisifu jina la Mungu, nitamtukuza kwa shukrani.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kwa wimbo nitalisifu jina la Mungu, nitamtukuza kwa shukrani.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo, nami nitamtukuza kwa kumtolea shukrani.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo, nami nitamtukuza kwa kumtolea shukrani.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nitalisifu jina la Mungu kwa wimbo, Nami nitamtukuza kwa shukrani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 69:30
6 Marejeleo ya Msalaba  

Nitakushukuru kwa maana umenijibu, Nawe umekuwa wokovu wangu.


BWANA ni nguvu zangu na ngao yangu. Moyo wangu umemtumaini, Nami nimesaidiwa; Basi, moyo wangu unashangilia, Na kwa wimbo wangu nitamshukuru.


Mtukuzeni BWANA pamoja nami, Na tuliadhimishe jina lake pamoja.


Mtolee Mungu dhabihu za kushukuru; Mtimizie Aliye Juu nadhiri zako.