Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 69:29 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nami niliye maskini na mtu wa huzuni, Mungu, wokovu wako utaniinua.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini mimi mnyonge na mgonjwa; uniinue juu, ee Mungu, uniokoe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini mimi mnyonge na mgonjwa; uniinue juu, ee Mungu, uniokoe.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini mimi mnyonge na mgonjwa; uniinue juu, ee Mungu, uniokoe.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini mimi niko katika maumivu na dhiki; Ee Mungu, wokovu wako na unihifadhi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mimi niko katika maumivu na dhiki; Ee Mungu, wokovu wako na unihifadhi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nami niliye maskini na mtu wa huzuni, Mungu, wokovu wako utaniinua.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 69:29
17 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana mimi ni mnyonge na mhitaji, Na moyo wangu umejeruhiwa ndani yangu.


Maana atasimama mkono wa kulia wa mhitaji Amwokoe kutoka kwa wanaoihukumu nafsi yake.


Huniponya na adui zangu; Naam, waniinua juu yao walioniinukia, Na kuniponya na mtu mjeuri.


BWANA akujibu siku ya dhiki, Jina la Mungu wa Yakobo likuinue.


Nami ni maskini na mhitaji, Bwana atanitunza. Ndiwe msaada wangu na mwokozi wangu, Ee Mungu wangu, usikawie.


Ee Mungu wangu, uniponye na adui zangu, Uniinue juu yao wanaoshindana nami.


Nami ni maskini na mhitaji, Ee Mungu, unijilie kwa haraka. Ndiwe msaada wangu na mwokozi wangu, Ee BWANA, usikawie.


BWANA akamwambia Musa, Mtu yeyote aliyenitenda dhambi ndiye nitakayemfuta katika kitabu changu.


Ee BWANA, tumaini la Israeli, wote wakuachao watatahayarika. Wao watakaojitenga nami wataandikwa katika mchanga, kwa sababu wamemwacha BWANA, kisima cha maji yaliyo hai.


Yesu akamwambia, Mbweha wana pango, na ndege wa angani wana viota; lakini Mwana wa Adamu hana pa kulaza kichwa chake.


Maana mmejua neema ya Bwana wetu Yesu Kristo, jinsi alivyokuwa maskini kwa ajili yenu, ingawa alikuwa tajiri, ili kwamba ninyi mpate kuwa matajiri kwa umaskini wake.