Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 69:26 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maana wanamwudhi mtu uliyempiga Wewe, Wanazidisha maumivu ya hao uliowatia jeraha.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Maana wanawatesa wale uliowaadhibu, wanawaongezea majeraha wale uliowajeruhi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Maana wanawatesa wale uliowaadhibu, wanawaongezea majeraha wale uliowajeruhi.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Maana wanawatesa wale uliowaadhibu, wanawaongezea majeraha wale uliowajeruhi.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Kwa kuwa wanawatesa wale uliowajeruhi, na kuzungumza kuhusu maumivu ya wale uliowaumiza.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kwa kuwa wanawatesa wale uliowajeruhi, na kuzungumza juu ya maumivu ya wale uliowaumiza.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana wanamwudhi mtu uliyempiga Wewe, Wanazidisha maumivu ya hao uliowatia jeraha.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 69:26
10 Marejeleo ya Msalaba  

Lakini kulikuwako huko nabii wa BWANA, jina lake aliitwa Odedi; akatoka kuwalaki jeshi waliokuja Samaria, akawaambia, Angalieni, kwa kuwa BWANA, Mungu wa baba zenu, aliwakasirikia Yuda, yeye amewatia mikononi mwenu, nanyi mmewaua kwa ghadhabu iliyofikia mbinguni.


Waiharibu njia yangu, Wauzidisha msiba wangu, Watu wasio na msaidizi.


Kwa kuwa hakukumbuka kutenda fadhili, Bali alimfukuza mnyonge na mhitaji, Hata akamwua mtu aliyevunjika moyo,


Lakini BWANA aliridhika kumchubua; Amemhuzunisha; Utakapofanya nafsi yake kuwa dhabihu kwa dhambi, Ataona uzao wake, ataishi siku nyingi, Na mapenzi ya BWANA yatafanikiwa mkononi mwake;


Hakika ameyachukua masikitiko yetu, Amejitwika huzuni zetu; Lakini tulimdhania ya kuwa amepigwa, Amepigwa na Mungu, na kuteswa.


Nami ninayakasirikia sana mataifa yanayostarehe; kwa maana mimi nilikuwa nimekasirika kidogo tu, nao wakayazidisha maafa.


Amka, Ee upanga, juu ya mchungaji wangu, na juu ya mtu aliye mwenzangu, asema BWANA wa majeshi; mpige mchungaji, nao kondoo watatawanyika; nami nitaugeuza mkono wangu juu ya wadogo.


ambao walimwua Bwana Yesu, na hao manabii, na kutuudhi sisi; wala hawampendezi Mungu, wala hawapatani na watu wowote;