Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 69:25 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Makambi yao na yawe ukiwa, Pasiwe na mtu wa kukaa hemani mwao.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Kambi zao ziachwe mahame, asiishi yeyote katika mahema yao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Kambi zao ziachwe mahame, asiishi yeyote katika mahema yao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Kambi zao ziachwe mahame, asiishi yeyote katika mahema yao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mahali pao na pawe ukiwa, wala asiwepo yeyote atakayeishi katika mahema yao.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mahali pao na pawe ukiwa, wala asiwepo yeyote atakayeishi katika mahema yao.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Makambi yao na yawe ukiwa, Pasiwe na mtu wa kukaa hemani mwao.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 69:25
8 Marejeleo ya Msalaba  

Na ijapokuwa nyumba hii imetukuka namna hii, lakini kila apitaye atashtuka na kuizomea; nao watasema, Kwa nini BWANA ameitenda nchi hii na nyumba hii mambo haya?


Na nimwimbie mpenzi wangu wimbo wa mpenzi wangu kuhusu shamba lake la mizabibu. Mpenzi wangu alikuwa na shamba la mizabibu, Kilimani penye kuzaa sana;


Ndipo nilipouliza, Ee Bwana, hata lini? Naye akanijibu, Hadi miji itakapokuwa ukiwa, haina wenyeji, na nyumba zitakapokuwa hazina watu, na nchi hii itakapokuwa ganjo kabisa;


Angalieni, nyumba yenu mmeachiwa hali ya ukiwa.


Angalieni, mmeachiwa nyumba yenu! Nami nawaambia, Hamtaniona tena kamwe, hadi mtakaposema, Amebarikiwa ajaye kwa jina la Bwana.


Kwa maana imeandikwa katika kitabu cha Zaburi, Kikao chake na kiwe ukiwa, Wala asiwepo mtu mwenye kukaa humo; tena, Usimamizi wake autwae mwingine.