Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 69:22 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Meza yao mbele yao na iwe mtego; Naam, sikukuu zao sadaka ziwanase.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Karamu zao na ziwe mtego kwao, na sikukuu zao za sadaka ziwanase.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Karamu zao na ziwe mtego kwao, na sikukuu zao za sadaka ziwanase.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Karamu zao na ziwe mtego kwao, na sikukuu zao za sadaka ziwanase.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Meza iliyoandaliwa mbele yao na iwe mtego, nayo iwe upatilizo na tanzi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Meza iliyoandaliwa mbele yao na iwe mtego, nayo iwe upatilizo na tanzi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Meza yao mbele yao na iwe mtego; Naam, sikukuu zao sadaka ziwanase.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 69:22
7 Marejeleo ya Msalaba  

Maana kurudi nyuma kwao wajinga kutawaua, Na kufanikiwa kwao wapumbavu kutawaangamiza.


Kama hamtaki kusikia, na kama hamtaki kuitia moyoni, ili kulitukuza jina langu, asema BWANA wa majeshi, basi nitawaleteeni laana, nami nitazilaani baraka zenu; naam, nimekwisha kuzilaani, kwa sababu hamyatii haya moyoni.


Litalaaniwa kapu lako na chombo chako cha kukandia.


Wakati wasemapo, Kuna amani na salama, ndipo uharibifu uwajiapo kwa ghafla, kama vile uchungu umjiavyo mwenye mimba, wala hakika hawataokolewa.


Tena, Jiwe la kujikwaza mguu, na mwamba wa kuangusha. Kwa maana hujikwaza kwa neno lile, wasiliamini, nao waliwekwa kusudi wapate hayo.