Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 69:17 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Wala usinifiche uso wako, mimi mtumishi wako, Maana mimi nimo taabuni, unijibu upesi.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Usimfiche mtumishi wako uso wako; unijibu haraka, maana niko hatarini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Usimfiche mtumishi wako uso wako; unijibu haraka, maana niko hatarini.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Usimfiche mtumishi wako uso wako; unijibu haraka, maana niko hatarini.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Usimfiche mtumishi wako uso wako, uharakishe kunijibu, kwa sababu niko katika shida.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Usimfiche mtumishi wako uso wako, uharakishe kunijibu, kwa sababu niko katika shida.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Wala usinifiche uso wako, mimi mtumishi wako, Maana mimi nimo taabuni, unijibu upesi.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 69:17
14 Marejeleo ya Msalaba  

Nawe, je! Mbona hunisamehe makosa yangu, Na kuniondolea maovu yangu? Kwa kuwa sasa nitalala mavumbini; Nawe utanitafuta kwa bidii, lakini sitakuwapo.


Usinifiche uso wako siku ya shida yangu, Unitegee sikio lako, siku niitapo unijibu upesi.


Ee BWANA, utanisahau hadi lini, hata milele? Hadi lini utanificha uso wako?


Ee BWANA, unijibu hima, roho yangu imelegea; Usinifiche uso wako, Nisifanane nao washukao shimoni.


Ee BWANA, uniponye kutoka kwa adui zangu; Nimekukimbilia Wewe, unifiche.


Maana hapuuzi Wala kuchukizwa na mateso ya anayeteswa, Wala hamfichi uso wake, Bali humsikia akimlilia.


Usinifiche uso wako, Usimkatalie mtumishi wako kwa hasira. Umekuwa msaada wangu, usinitupe, Wala usiniache, Ee Mungu wa wokovu wangu.


Ee BWANA, uwe radhi kuniokoa, Ee BWANA, unisaidie hima.


Mbona unatuficha uso wako, Na kusahau kuonewa na kudhulumiwa kwetu?


Ambazo midomo yangu ilizinena; Kinywa changu kikazisema nilipokuwa taabuni.


Ee Mungu, uniokoe, Ee BWANA, unisaidie hima.


Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi.


Ndipo akawaambia, Roho yangu ina huzuni nyingi kiasi cha kufa; kaeni hapa, mkeshe pamoja nami.


Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?