Nilipolia na kuiadhibu roho yangu kwa kufunga, Nikalaumiwa kwa hayo.
Nilipojinyenyekesha kwa kufunga, watu walinilaumu.
Ninapolia na kufunga, lazima nivumilie matusi.
Juhudi yangu imeniangamiza, Maana watesi wangu wameyasahau maneno yako.
Bali mimi, walipougua wao, Nguo yangu ilikuwa gunia. Nilijitesa nafsi yangu kwa kufunga; Maombi yangu yakarejea kifuani mwangu.