Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 69:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ee Mungu, uniokoe, Maana maji yamefika mpaka nafsini mwangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Uniokoe, ee Mungu; maji yamenifika shingoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Uniokoe, ee Mungu; maji yamenifika shingoni.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Uniokoe, ee Mungu; maji yamenifika shingoni.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ee Mungu, niokoe, kwa maana maji yamenifika shingoni.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ee Mungu, niokoe, kwa maana maji yamenifika shingoni.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ee Mungu, uniokoe, Maana maji yamefika mpaka nafsini mwangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 69:1
15 Marejeleo ya Msalaba  

Au je! Huoni giza, Na maji mengi yanayokufunika?


Kamba za mauti zilinizunguka, Mafuriko ya uovu yakanitia hofu.


Kwa hiyo, hebu kila akuaminiye Akuombe awapo katika dhiki. Hakika maji makuu yafurikapo, Hayatamfikia yeye.


Kilindi chapigia kelele kilindi kwa sauti ya maporomoko ya maji yako, Gharika zako zote na mawimbi yako yote yamepita juu yangu.


Moyo wangu umefurika kwa jambo jema, Mimi nasema niliyomfanyia mfalme; Ulimi wangu ni kama kalamu ya mwandishi stadi.


Ee Mungu, umetutupa na kututawanya, Umekuwa na hasira, uturudishe tena.


Ninazama katika matope mengi, Pasipowezekana kusimama. Nimefika penye maji ya vilindi, Mkondo wa maji unanigharikisha.


Wewe uchungaye Israeli, usikie, Wewe umwongozaye Yusufu kama kundi; Wewe uketiye juu ya makerubi, utoe nuru.


Nami nitafanya hukumu kuwa ndiyo kanuni, na haki kuwa ndiyo timazi; na mvua ya mawe itachukulia mbali hilo kimbilio la maneno ya uongo, na maji yatapagharikisha mahali pa kujisitiri.


Upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe; na katika mito, haitakugharikisha; uendapo katika moto, hutateketea; wala mwali wa moto hautakuunguza.


Maji mengi yalipita juu ya kichwa changu, Nikasema, Nimekatiliwa mbali.


Kisha akaniambia, Yale maji uliyoyaona, hapo aketipo yule kahaba, ni jamaa na makutano na mataifa na lugha.