Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 67:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mungu na atufadhili na kutubariki, Na kutuangazia uso wake.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Utuonee huruma, ee Mungu, utubariki; utuelekezee uso wako kwa wema;

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Utuonee huruma, ee Mungu, utubariki; utuelekezee uso wako kwa wema;

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Utuonee huruma, ee Mungu, utubariki; utuelekezee uso wako kwa wema;

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mungu aturehemu na kutubariki, na kutuangazia nuru za uso wake,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mungu aturehemu na kutubariki, na kutuangazia nuru za uso wake,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mungu na atufadhili na kutubariki, Na kutuangazia uso wake.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 67:1
15 Marejeleo ya Msalaba  

Umwangazie mtumishi wako uso wako, Na kunifundisha amri zako.


Uwaokoe watu wako, uubariki urithi wako, Uwachunge, uwachukue milele.


Umwangaze mtumishi wako Kwa nuru ya uso wako; Uniokoe kwa ajili ya fadhili zako.


Ee Mungu wa haki yangu, uniitikie niitapo; Uliniokoa nilipokuwa katika shida; Unifadhili na kuisikia sala yangu.


Wengi husema, Nani atakayetuonesha mema? BWANA, utuinulie nuru ya uso wako.


BWANA, usinikemee kwa hasira yako, Wala usinirudi kwa ghadhabu yako.


Katika Yuda Mungu amejulikana, Katika Israeli jina lake ni kuu.


Ee BWANA, Mungu wa majeshi, uturudishe, Uangaze uso wako nasi tutaokoka.


Ee Mungu wa majeshi, uturudishe, Uangaze uso wako nasi tutaokoka.


Kwa kuwa Mungu, aliyesema, Nuru itang'aa toka gizani, ndiye aliyeng'aa mioyoni mwetu, atupe nuru ya elimu ya utukufu wa Mungu katika uso wa Yesu Kristo.


Atukuzwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, aliyetubariki kwa baraka zote za rohoni, katika ulimwengu wa roho, ndani yake Kristo;


Ee BWANA, wasamehe watu wako Israeli, uliowakomboa, wala usiiache damu ya asiye makosa ikakaa katikati ya watu wako Israeli. Na ile damu utasamehewa kwao.