Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 66:9 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Aliyeiweka nafsi yetu katika uhai, Wala hakuuacha mguu wetu usogezwe.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeye ametujalia maisha, wala hakutuacha tuanguke.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeye ametujalia maisha, wala hakutuacha tuanguke.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeye ametujalia maisha, wala hakutuacha tuanguke.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ameyahifadhi maisha yetu na kuizuia miguu yetu kuteleza.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ameyahifadhi maisha yetu na kuizuia miguu yetu kuteleza.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Aliyeiweka nafsi yetu katika uhai, Wala hakuuacha mguu wetu usogezwe.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 66:9
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa maana hataondoshwa kamwe; Mwenye haki atakumbukwa milele.


Hatauacha mguu wako usogezwe; Akulindaye hatasinzia;


Kwa maana fimbo ya udhalimu Haitakaa juu ya nchi ya wenye haki; Ili wenye haki wasije wakainyosha Mikono yao kwenye upotovu.


Wakwasi wote wa dunia watakula na kusujudu, Humwinamia wote washukao mavumbini; Naam, yeye asiyeweza kujihuisha nafsi yake,


Nawe, Ee Mungu, utawateremsha, Wafikie shimo la uharibifu; Watu wa damu na hila hawataishi nusu ya siku zao, Bali mimi nitakutumaini Wewe.


Yeye tu ndiye mwamba wangu na wokovu wangu, Ngome yangu, sitatikisika.


Yeye tu ndiye mwamba wangu na wokovu wangu, Ngome yangu, sitatikisika.


Niliposema, Mguu wangu unateleza; Ee BWANA, fadhili zako zilinitegemeza.


Kwa maana ndani yake yeye tunaishi, tunakwenda, na kuwa na uhai wetu. Kama vile mmoja wenu, mtunga mashairi alivyosema, Maana sisi sote tu wazawa wake.


Yeye atailinda miguu ya watakatifu wake; Bali waovu watanyamazishwa gizani, Maana kwa nguvu hakuna atakayeshinda;


Na hata ijapokuwa binadamu angeinuka akuwinde, na kuitafuta nafsi yako, hiyo nafsi ya bwana wangu itafungwa katika furushi ya uhai pamoja na BWANA, Mungu wako; na nafsi za adui zako ndizo atakazozitupa nje, kama kutoka kati ya kombeo.