Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 66:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Enyi mataifa, mtukuzeni Mungu wetu, Itangazeni sauti ya sifa zake;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Msifuni Mungu wetu, enyi mataifa yote; tangazeni sifa zake zipate kusikika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Msifuni Mungu wetu, enyi mataifa yote; tangazeni sifa zake zipate kusikika.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Msifuni Mungu wetu, enyi mataifa yote; tangazeni sifa zake zipate kusikika.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Enyi mataifa, msifuni Mungu wetu, sauti ya sifa yake isikike,

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Enyi mataifa, msifuni Mungu wetu, sauti ya sifa yake isikike,

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Enyi mataifa, mtukuzeni Mungu wetu, Itangazeni sauti ya sifa zake;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 66:8
9 Marejeleo ya Msalaba  

Enyi watu wote, pigeni makofi, Mpigieni Mungu kelele kwa Sauti ya shangwe.


Imbeni utukufu wa jina lake, Tukuzeni sifa zake.


Mshangilieni BWANA, nchi yote, Inueni sauti, imbeni kwa furaha, imbeni sifa.


itasikika tena sauti ya furaha na sauti ya shangwe, sauti ya bwana arusi na sauti ya bibi arusi, sauti yao wasemao Mshukuruni BWANA wa majeshi, maana BWANA ni mwema, rehema zake ni za milele; na sauti zao waletao sadaka za shukrani nyumbani kwa BWANA. Kwa kuwa nitawarudisha wafungwa wa nchi hii kama kwanza, asema BWANA.


Furahini, enyi mataifa, pamoja na watu wake; Kwa maana atatwaa kisasi kwa damu ya watumwa wake, Atawatoza kisasi adui zake, Tena atafanya kafara kwa nchi yake, na watu wake.


Baada ya hayo nikasikia sauti kama sauti ya mikutano mikubwa, sauti kubwa mbinguni, ikisema, Haleluya; Wokovu na utukufu na nguvu zina Bwana Mungu wetu;