Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 66:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Njoni myaone matendo ya Mungu; Hutisha kwa mambo awatendayo wanadamu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Njoni mkaone mambo aliyotenda Mungu; ametenda mambo ya kutisha kati ya watu:

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Njoni mkaone mambo aliyotenda Mungu; ametenda mambo ya kutisha kati ya watu:

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Njoni mkaone mambo aliyotenda Mungu; ametenda mambo ya kutisha kati ya watu:

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Njooni mwone yale Mungu aliyoyatenda, mambo ya kutisha aliyoyatenda miongoni mwa wanadamu!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Njooni mwone yale Mungu aliyoyatenda, mambo ya kutisha aliyoyatenda miongoni mwa wanadamu!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Njoni myaone matendo ya Mungu; Hutisha kwa mambo awatendayo wanadamu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 66:5
11 Marejeleo ya Msalaba  

Matendo ya ajabu katika nchi ya Hamu, Mambo ya kutisha penye Bahari ya Shamu.


Matendo ya BWANA ni makuu, Yafikiriwa sana na wapendezwao nayo.


Njoni muyatazame matendo ya BWANA, Jinsi alivyofanya ukiwa katika nchi.


Avikomesha vita hata mwisho wa dunia; Avunja uta, akata mkuki, achoma moto magari.


Amewatiisha watu wa nchi chini yetu, Na mataifa chini ya miguu yetu.


Njoni, sikieni, ninyi nyote mnaomcha Mungu, Nami nitayatangaza aliyonitendea roho yangu.


Mwambieni Mungu, Matendo yako yatisha kama nini! Kwa ajili ya wingi wa nguvu zako, Adui zako watakuja kunyenyekea mbele zako.


Na walisifu jina lake kuu litishalo; Ndiye mtakatifu.


Katika habari za vivimbe vyake; vilikuwa virefu, vya kutisha; nayo yote manne, vivimbe vyake vimejaa macho pande zote.


Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israeli. Sasa habari za Yakobo na Israeli zitasemwa, Ni mambo gani aliyoyatenda Mungu!