Zaburi 66:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Njoni myaone matendo ya Mungu; Hutisha kwa mambo awatendayo wanadamu; Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Njoni mkaone mambo aliyotenda Mungu; ametenda mambo ya kutisha kati ya watu: Biblia Habari Njema - BHND Njoni mkaone mambo aliyotenda Mungu; ametenda mambo ya kutisha kati ya watu: Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Njoni mkaone mambo aliyotenda Mungu; ametenda mambo ya kutisha kati ya watu: Neno: Bibilia Takatifu Njooni mwone yale Mungu aliyoyatenda, mambo ya kutisha aliyoyatenda miongoni mwa wanadamu! Neno: Maandiko Matakatifu Njooni mwone yale Mungu aliyoyatenda, mambo ya kutisha aliyoyatenda miongoni mwa wanadamu! BIBLIA KISWAHILI Njoni myaone matendo ya Mungu; Hutisha kwa mambo awatendayo wanadamu; |
Njoni, sikieni, ninyi nyote mnaomcha Mungu, Nami nitayatangaza aliyonitendea roho yangu.
Mwambieni Mungu, Matendo yako yatisha kama nini! Kwa ajili ya wingi wa nguvu zako, Adui zako watakuja kunyenyekea mbele zako.
Katika habari za vivimbe vyake; vilikuwa virefu, vya kutisha; nayo yote manne, vivimbe vyake vimejaa macho pande zote.
Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo, Wala hapana uganga juu ya Israeli. Sasa habari za Yakobo na Israeli zitasemwa, Ni mambo gani aliyoyatenda Mungu!