Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 66:19 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Hakika Mungu amesikia; Ameisikiliza sauti ya maombi yangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini kweli Mungu amenisikiliza; naam, amesikiliza maneno ya sala yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini kweli Mungu amenisikiliza; naam, amesikiliza maneno ya sala yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini kweli Mungu amenisikiliza; naam, amesikiliza maneno ya sala yangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

lakini hakika Mungu amenisikiliza na amesikia sauti yangu katika maombi.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

lakini hakika Mungu amenisikiliza na amesikia sauti yangu katika maombi.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Hakika Mungu amesikia; Ameisikiliza sauti ya maombi yangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 66:19
7 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akamwambia, Nimeyasikia maombi yako na dua zako, ulizotoa mbele zangu. Nimeitakasa nyumba hii uliyoijenga ili niweke jina langu humo milele; tena macho yangu na moyo wangu utakuwapo hapo siku zote;


Maskini huyu aliita, BWANA akasikia, Akamwokoa na taabu zake zote.


BWANA ameisikia dua yangu; BWANA atayatakabali maombi yangu.


Yeye, siku hizo za mwili wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha Mungu;