Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 66:13 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nitaingia nyumbani mwako na kafara; Nitaondoa kwako nadhiri zangu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nitakuja nyumbani kwako na sadaka za kuteketezwa, nitakutimizia nadhiri zangu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nitakuja nyumbani kwako na sadaka za kuteketezwa, nitakutimizia nadhiri zangu,

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nitakuja nyumbani kwako na sadaka za kuteketezwa, nitakutimizia nadhiri zangu,

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nitakuja hekaluni mwako na sadaka za kuteketezwa na kukutimizia nadhiri zangu:

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nitakuja hekaluni mwako na sadaka za kuteketezwa na kukutimizia nadhiri zangu:

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nitaingia nyumbani mwako na kafara; Nitaondoa kwako nadhiri zangu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 66:13
19 Marejeleo ya Msalaba  

Utamwomba yeye naye atakusikia; Nawe utazitimiliza nadhiri zako.


Ingieni malangoni mwake kwa shukrani; Nyuani mwake kwa kusifu; Mshukuruni, lihimidini jina lake;


Nitaziondoa nadhiri zangu kwa BWANA, Naam, mbele ya watu wake wote.


Nifungulieni malango ya haki, Nitaingia na kumshukuru BWANA.


BWANA ndiye aliye Mungu, Naye ndiye aliyetupa nuru. Ifungeni dhabihu kwa kamba Pembeni mwa madhabahu.


Kwako zinatoka sifa zangu Katika kusanyiko kubwa. Nitaziondoa nadhiri zangu Mbele yao wamchao.


Ee Mungu, nadhiri zako ziko juu yangu; Nitakutolea dhabihu za kushukuru.


Wewe usikiaye maombi, Wote wenye mwili watakujia.


Wewe ukimwekea Mungu nadhiri, usikawie kuiondoa; kwa kuwa yeye hawi radhi na wapumbavu; basi, uiondoe hiyo uliyoiweka nadhiri.


Lakini mimi nitakutolea sadaka kwa sauti ya shukrani; Nitaziondoa nadhiri zangu. Wokovu hutoka kwa BWANA.


Tazama, juu ya milima iko miguu yake aletaye habari njema, atangazaye amani. Zishike sikukuu zako, Ee Yuda, uziondoe nadhiri zako; kwa maana yule asiyefaa kitu hatapita kati yako tena kamwe; amekwisha kukatiliwa mbali.


Lakini ukijizuia usiweke nadhiri, haitakuwa dhambi kwako.


Yaliyotoka midomoni mwako yashike kuyafanya; kwa mfano wa ulivyomwekea nadhiri BWANA, Mungu wako, ni sadaka ya hiari uliyoahidi kwa kinywa chako.


Uingiapo katika shamba la mizabibu la jirani yako, utaweza kula zabibu za kukushibisha, kama upendavyo; ila usitie katika chombo chako.


Basi, kwa njia yake yeye, na tumpe Mungu dhabihu ya sifa daima, yaani, tunda la midomo iliungamalo jina lake.


Ikawa alipomuona akayararua mavazi yake, akasema, Ole wangu! Mwanangu, umenitweza sana, nawe u mmoja miongoni mwa hao wanisumbuao; kwa kuwa mimi nimemfunulia BWANA kinywa changu, nami siwezi kurudi nyuma.