Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 66:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ulituingiza ndani ya wavu, Na kuweka viunoni mwetu mzigo uliotulemea.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Umetuacha tunaswe wavuni; umetubebesha taabu nzito.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Umetuacha tunaswe wavuni; umetubebesha taabu nzito.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Umetuacha tunaswe wavuni; umetubebesha taabu nzito.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Umetuingiza kwenye nyavu na umetubebesha mizigo mizito migongoni mwetu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Umetuingiza kwenye nyavu na umetubebesha mizigo mizito migongoni mwetu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ulituingiza ndani ya wavu, Na kuweka viunoni mwetu mzigo uliotulemea.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 66:11
7 Marejeleo ya Msalaba  

Jueni basi kuwa Mungu amenipotosha, Na kunizingira kwa wavu wake.


Toka juu amepeleka moto mifupani mwangu, Nao umeishinda; Ametandika wavu aninase miguu, Amenirudisha nyuma; Amenifanya kuwa mtu wa pekee, Na mgonjwa mchana kutwa.


Tena wavu wangu nitautandika juu yake, naye atanaswa kwa mtego wangu; nami nitampeleka Babeli, mpaka nchi ya Wakaldayo; lakini hataiona, ingawa atakufa huko.


Watakapokwenda nitatandika wavu wangu juu yao; nitawashusha kama ndege wa angani; nitawarudi, kama vile mkutano wao ulivyosikia.


Na usitutie majaribuni, lakini utuokoe na yule mwovu. [Kwa kuwa ufalme ni wako, na nguvu, na utukufu, hata milele. Amina.]


Ee BWANA, ubariki mali zake, Utakabali kazi ya mikono yake; Uwapige viuno vyao waondokao juu yake, Na wenye kumchukia, wasiinuke tena.