Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 64:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Unifiche mbali na njama za watenda mabaya, Mbali na mipango ya watu wafanyao maovu;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Unikinge na njama za waovu, na ghasia za watu wabaya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Unikinge na njama za waovu, na ghasia za watu wabaya.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Unikinge na njama za waovu, na ghasia za watu wabaya.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Unifiche kutokana na njama za waovu, kutokana na fitina za kundi la watenda maovu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Unifiche kutokana na shauri la siri la waovu, kutokana na zile kelele za kundi la watenda mabaya.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Unifiche mbali na njama za watenda mabaya, Mbali na mipango ya watu wafanyao maovu;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 64:2
20 Marejeleo ya Msalaba  

BWANA akamwambia Kaini, Kwa nini una ghadhabu? Na kwa nini uso wako umekunjamana?


Ee BWANA, uniponye kutoka kwa adui zangu; Nimekukimbilia Wewe, unifiche.


Wafalme wa dunia wanajipanga, Na wakuu wanafanya shauri pamoja, Juu ya BWANA, Na juu ya masihi wake,


Maana atanisitiri bandani mwake siku ya mabaya, Atanisitiri katika sitara ya hema yake, Na kuniinua juu ya mwamba.


BWANA, watesi wangu wamezidi kuwa wengi, Ni wengi wanaonishambulia,


Utawasitiri kutoka kwa fitina za watu Katika maficho ya kuwapo kwako; Utawaficha katika hema Na ushindani wa ndimi.


Hukutanika, hujificha, huziangalia nyayo zangu, Kwa kuwa waliniotea ili waniue.


Uniponye nao wafanyao maovu, Uniokoe na watu wa damu.


Na mwanadamu atakuwa kama mahali pa kujificha na upepo, na mahali pa kujisitiri na dhoruba; kama mito ya maji mahali pakavu, kama kivuli cha mwamba mkubwa katika nchi yenye uchovu.


Lakini mimi nilikuwa kama mwana-kondoo mpole, achukuliwaye kwenda kuchinjwa; wala sikujua ya kuwa wamefanya mashauri kinyume changu, wakisema, Na tuuharibu mti pamoja na matunda yake, na tumkatilie mbali atoke katika nchi ya walio hai, ili jina lake lisikumbukwe tena.


Niangalie, Ee BWANA, ukasikilize sauti ya wanaoshindana nami.


Lakini wewe, BWANA, unajua mashauri yao yote juu yangu, ya kuniua; usiwasamehe uovu wao, wala usifute dhambi yao mbele za macho yako; bali wakwazwe mbele zako; uwatende mambo wakati wa hasira yako.


Wayahudi nao wakamshitaki, wakisema ya kuwa ndivyo yalivyo.


na kumwomba fadhili juu yake, kwamba atoe amri aletwe Yerusalemu, wapate kumwotea na kumwua njiani.