Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 63:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ndivyo nitakavyokubariki maadamu ni hai; Kwa jina lako nitaiinua mikono yangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Nitakushukuru maisha yangu yote; nitainua mikono yangu na kukuomba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Nitakushukuru maisha yangu yote; nitainua mikono yangu na kukuomba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Nitakushukuru maisha yangu yote; nitainua mikono yangu na kukuomba.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Nitakusifu siku zote za maisha yangu, na kwa jina lako nitainua mikono yangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Nitakusifu siku zote za maisha yangu, na kwa jina lako nitainua mikono yangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ndivyo nitakavyokubariki maadamu ni hai; Kwa jina lako nitaiinua mikono yangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 63:4
7 Marejeleo ya Msalaba  

Nitamwimbia BWANA maadamu ninaishi; Nitamshangilia Mungu wangu nikiwa hai;


Painulieni patakatifu mikono yenu, Na kumhimidi BWANA.


Uisikie sauti ya dua yangu nikuombapo, Nikipainulia patakatifu pako mikono yangu.


Milima ilikuona, ikaogopa; Gharika ya maji ikapita; Vilindi vikatoa sauti yake, Vikainua juu mikono yake.