Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 63:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Watatolewa wafe kwa nguvu za upanga, Watakuwa riziki za mbwamwitu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Watauawa kwa upanga, watakuwa chakula cha mbweha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Watauawa kwa upanga, watakuwa chakula cha mbweha.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Watauawa kwa upanga, watakuwa chakula cha mbweha.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Watatolewa wafe kwa upanga, nao watakuwa chakula cha mbweha.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Watatolewa wafe kwa upanga, nao watakuwa chakula cha mbweha.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Watatolewa wafe kwa nguvu za upanga, Watakuwa riziki za mbwamwitu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 63:10
8 Marejeleo ya Msalaba  

Tukamatie mbweha, Wale mbweha wadogo, Waiharibuo mizabibu, Maana mizabibu yetu yachanua.


Kwa sababu hiyo, uwatoe watoto wao waone njaa, uwatoe nguvu za upanga ziwapate; wake zao wafiwe na watoto wao, na kufiwa na waume zao; wanaume wao wauawe, na vijana wao wapigwe kwa upanga vitani.


Kwa kuwa umekuwa na uadui usiokoma, nawe umewatoa wana wa Israeli wapigwe kwa nguvu za upanga, wakati wa msiba wao, wakati wa mwisho wa uovu.


Utaanguka juu ya milima ya Israeli, wewe, na vikosi vyako vyote, na watu wa kabila nyingi walio pamoja nawe; nami nitakutoa na kuwapa ndege wa kila namna walao nyama, na wanyama wa pori, uliwe na wao.


Daudi akasema, Aishivyo BWANA, BWANA atampiga; au siku yake ya kufa itampata; atashuka kwenda vitani na kupotea.