Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 61:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maana Wewe, Mungu, umezisikia nadhiri zangu. Umewapa urithi wao waliogopao jina lako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ee Mungu, umezisikia ahadi zangu, umenijalia sehemu yangu unayowapa wale wakuchao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ee Mungu, umezisikia ahadi zangu, umenijalia sehemu yangu unayowapa wale wakuchao.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ee Mungu, umezisikia ahadi zangu, umenijalia sehemu yangu unayowapa wale wakuchao.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ee Mungu, kwa kuwa umesikia nadhiri zangu, umenipa urithi wa wale wanaoliogopa jina lako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ee Mungu, kwa kuwa umesikia nadhiri zangu, umenipa urithi wa wale wanaoliogopa jina lako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana Wewe, Mungu, umezisikia nadhiri zangu. Umewapa urithi wao waliogopao jina lako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 61:5
10 Marejeleo ya Msalaba  

Atawabariki wamchao BWANA, Wadogo kwa wakubwa.


Unilinde kama mboni ya jicho, Unifiche chini ya kivuli cha mbawa zako;


Ee Mungu, nadhiri zako ziko juu yangu; Nitakutolea dhabihu za kushukuru.


Ee Mungu, wastahili sifa katika Sayuni, Na kwako Wewe itaondolewa nadhiri.


Hakika Mungu amesikia; Ameisikiliza sauti ya maombi yangu.


Ee BWANA, unifundishe njia yako; Nitakwenda katika kweli yako; Moyo wangu na ufurahi kulicha jina lako;


Atasema, BWANA ndiye kimbilio langu na ngome yangu, Mungu wangu nitakayemtumaini.


bali katika kila taifa mtu amchaye na kutenda haki hukubaliwa na yeye.