Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 61:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ee Mungu, ukisikie kilio changu, Uyasikilize maombi yangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ee Mungu, usikie kilio changu, usikilize sala yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ee Mungu, usikie kilio changu, usikilize sala yangu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ee Mungu, usikie kilio changu, usikilize sala yangu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ee Mungu, sikia kilio changu, usikilize maombi yangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ee Mungu, sikia kilio changu, usikilize maombi yangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ee Mungu, ukisikie kilio changu, Uyasikilize maombi yangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 61:1
11 Marejeleo ya Msalaba  

Bwana, uisikie sauti yangu. Masikio yako na yaisikilize Sauti ya dua zangu.


Ee BWANA, usikie haki, ukisikilize kilio changu, Utege sikio lako kwa maombi yangu, Yasiyotoka katika midomo ya hila.


Uisikie sauti ya dua yangu nikuombapo, Nikipainulia patakatifu pako mikono yangu.


Ee Mungu wa haki yangu, uniitikie niitapo; Uliniokoa nilipokuwa katika shida; Unifadhili na kuisikia sala yangu.


Ee Mungu, kwa jina lako uniokoe, Na kwa uweza wako unifanyie hukumu.


BWANA, usinikemee kwa hasira yako, Wala usinirudi kwa ghadhabu yako.


Mungu, uisikie sauti yangu katika malalamiko yangu; Unilinde uhai wangu kutoka kwa hofu ya adui.


Ee BWANA, uyasikie maombi yangu; Uisikilize sauti ya dua zangu.


Msijisumbue kwa neno lolote; bali katika kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru, haja zenu na zijulikane na Mungu.