Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 60:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Utuletee msaada juu ya mtesi, Maana wokovu wa binadamu haufai kitu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Utupatie msaada dhidi ya maadui zetu, maana msaada wa binadamu haufai kitu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Utupatie msaada dhidi ya maadui zetu, maana msaada wa binadamu haufai kitu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Utupatie msaada dhidi ya maadui zetu, maana msaada wa binadamu haufai kitu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Tuletee msaada dhidi ya adui, kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Tuletee msaada dhidi ya adui, kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Utuletee msaada juu ya mtesi, Maana wokovu wa binadamu haufai kitu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 60:11
8 Marejeleo ya Msalaba  

Utuletee msaada juu ya mtesi, Maana wokovu wa binadamu haufai.


Yeye atamkomboa Israeli na maovu yake yote.


Msiwatumainie wakuu, Wala binadamu ambaye hakuna wokovu kwake.


Ee Mungu, umkomboe Israeli, Katika taabu zake zote.


Nafsi yangu yamngoja Mungu peke yake kwa utulivu, Wokovu wangu hutoka kwake.


Kwa maana msaada wa Misri haufai kitu na ni bure; Kwa hiyo nimemwita, “Rahabu aketiye kimya”.


Basi Wamisri ni wanadamu wala si Mungu, na farasi wao ni nyama wala si roho; na BWANA atakaponyosha mkono wake, yeye asaidiaye atajikwaa, na yeye asaidiwaye ataanguka, nao wataangamia wote pamoja.