Zaburi 60:11 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC Utuletee msaada juu ya mtesi, Maana wokovu wa binadamu haufai kitu. Matoleo zaidiBiblia Habari Njema Utupatie msaada dhidi ya maadui zetu, maana msaada wa binadamu haufai kitu. Biblia Habari Njema - BHND Utupatie msaada dhidi ya maadui zetu, maana msaada wa binadamu haufai kitu. Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza Utupatie msaada dhidi ya maadui zetu, maana msaada wa binadamu haufai kitu. Neno: Bibilia Takatifu Tuletee msaada dhidi ya adui, kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu. Neno: Maandiko Matakatifu Tuletee msaada dhidi ya adui, kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu. BIBLIA KISWAHILI Utuletee msaada juu ya mtesi, Maana wokovu wa binadamu haufai kitu. |
Kwa maana msaada wa Misri haufai kitu na ni bure; Kwa hiyo nimemwita, “Rahabu aketiye kimya”.
Basi Wamisri ni wanadamu wala si Mungu, na farasi wao ni nyama wala si roho; na BWANA atakaponyosha mkono wake, yeye asaidiaye atajikwaa, na yeye asaidiwaye ataanguka, nao wataangamia wote pamoja.