Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 6:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Maana mautini hapana kumbukumbu lako; Katika kuzimu ni nani atakayekushukuru?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Huko kwa wafu hakuna anayekukumbuka; huko kuzimu ni nani awezaye kukusifu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Huko kwa wafu hakuna anayekukumbuka; huko kuzimu ni nani awezaye kukusifu?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Huko kwa wafu hakuna anayekukumbuka; huko kuzimu ni nani awezaye kukusifu?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Hakuna mtu anayekukumbuka akiwa amekufa. Ni nani awezaye kukusifu akiwa Kuzimu?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Hakuna mtu anayekukumbuka akiwa amekufa. Ni nani awezaye kukusifu akiwa kuzimu?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Maana mautini hapana kumbukumbu lako; Katika kuzimu ni nani atakayekushukuru?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 6:5
9 Marejeleo ya Msalaba  

Wafu hawamsifu Mungu BWANA, Wala yeyote ashukaye kwenye kimya;


Nikaliitia jina la BWANA. Ee BWANA, nakuomba sana, Uniokoe nafsi yangu.


Sitakufa bali nitaishi, Nami nitayasimulia matendo ya BWANA.


Mna faida gani katika damu yangu Nishukapo Shimoni? Mavumbi yatakusifu? Yatautangaza uaminifu wako?


Urudi, Ee BWANA utakasirika hadi lini? Wahurumie watumishi wako.


Lolote mkono wako utakalolipata kulifanya, ulifanye kwa nguvu zako; kwa kuwa hakuna kazi, wala shauri, wala maarifa, wala hekima, huko kuzimu uendako wewe.


Imetupasa kuzifanya kazi zake yeye aliyenituma maadamu ni mchana, usiku waja asipoweza mtu kufanya kazi.