Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 6:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

BWANA urudi, uniopoe nafsi yangu, Uniokoe kwa ajili ya fadhili zako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Unigeukie, ee Mwenyezi-Mungu, uniokoe; unisalimishe kwa sababu ya fadhili zako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Unigeukie, ee Mwenyezi-Mungu, uniokoe; unisalimishe kwa sababu ya fadhili zako.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Unigeukie, ee Mwenyezi-Mungu, uniokoe; unisalimishe kwa sababu ya fadhili zako.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Geuka, Ee Mwenyezi Mungu, unikomboe, uniokoe kwa sababu ya fadhili zako.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Geuka Ee bwana, unikomboe, uniokoe kwa sababu ya fadhili zako.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

BWANA urudi, uniopoe nafsi yangu, Uniokoe kwa ajili ya fadhili zako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 6:4
20 Marejeleo ya Msalaba  

Nikaliitia jina la BWANA. Ee BWANA, nakuomba sana, Uniokoe nafsi yangu.


Maana umeniponya nafsi yangu na mauti, Macho yangu na machozi, Na miguu yangu na kuanguka.


Ee BWANA, uniponye Na midomo ya uongo na ulimi wa hila.


BWANA atakulinda na mabaya yote, Atakulinda nafsi yako.


Nitakuwa na wasiwasi rohoni mwangu hadi lini, Nikihuzunika moyoni mchana kutwa? Adui yangu atatukuka juu yangu hadi lini?


Inuka, Ee BWANA, umkabili, umwangushe, Kwa upanga wako uniokoe nafsi yangu na mtu mbaya.


Uniponye nafsi yangu na upanga, Mpenzi wangu na nguvu za mbwa.


Usiyakumbuke makosa ya ujana wangu, Wala maasi yangu. Unikumbuke kwa kadiri ya fadhili zako, Ee BWANA kwa ajili ya wema wako.


Nami maombi yangu nakuomba Wewe, BWANA, Wakati ukupendezao; Ee Mungu, Kwa wingi wa fadhili zako unijibu, Katika kweli ya wokovu wako.


Ee Mungu, mtesi atalaumu hata lini? Adui alidharau jina lako hata milele?


Ee BWANA, hadi lini? Utaona hasira milele? Wivu wako utawaka kama moto?


Ee Mungu wa majeshi, tunakusihi, urudi, Utazame toka juu uone, uujie mzabibu huu.


Maana fadhili zako kwangu ni nyingi sana; Umeiopoa nafsi yangu na kuzimu.


Urudi, Ee BWANA utakasirika hadi lini? Wahurumie watumishi wako.


Tazama; nilikuwa na uchungu mwingi kwa ajili ya amani yangu; Lakini kwa kunipenda umeniokoa kutoka kwa shimo la uharibifu; Kwa maana umezitupa dhambi zangu zote nyuma yako.


Ee Mungu wangu, tega sikio lako, ukasikie; fumbua macho yako ukautazame ukiwa wetu, na mji ule ulioitwa kwa jina lako; maana hatukutolei maombi yetu kwa sababu ya haki yetu, lakini kwa sababu ya rehema zako nyingi.


Tokea siku za baba zenu mmegeuka upande, mkayaacha maagizo yangu, wala hamkuyashika. Nirudieni mimi, nami nitawarudia ninyi, asema BWANA wa majeshi. Lakini ninyi mwasema, Turudi kwa namna gani?


Na usifiwe utukufu wa neema yake, ambayo ametuneemesha katika huyo Mpendwa.