Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 59:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Na Wewe, BWANA, utawacheka, Utawadhihaki mataifa yote.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini wewe, ee Mwenyezi-Mungu, wawacheka; unawapuuza hao watu wote wasiokujua.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini wewe, ee Mwenyezi-Mungu, wawacheka; unawapuuza hao watu wote wasiokujua.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini wewe, ee Mwenyezi-Mungu, wawacheka; unawapuuza hao watu wote wasiokujua.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini wewe, Mwenyezi Mungu, uwacheke; unayadharau mataifa hayo yote.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini wewe, bwana, uwacheke; unayadharau mataifa hayo yote.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Na Wewe, BWANA, utawacheka, Utawadhihaki mataifa yote.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 59:8
8 Marejeleo ya Msalaba  

Asema moyoni mwake, Mungu amesahau, Auficha uso wake, haoni kamwe.


Yeye aketiye mbinguni anacheka, Bwana anawafanyia dhihaka.


BWANA atamcheka, Maana ameona kwamba siku yake inakuja.


Ee Mungu, utukuzwe juu ya mbingu, Na juu ya nchi yote uwe utukufu wako.


Na Wewe, BWANA, Mungu wa majeshi, Mungu wa Israeli, uinuke. Uwapatilize mataifa yote; Usimrehemu hata mmoja wa wale wapangao maovu kwa hila.


Mimi nami nitacheka siku ya msiba wenu, Nitadhihaki hofu yenu ifikapo;


Na asipowasikiliza wao, liambie kanisa; na asipolisikiliza kanisa pia, na awe kwako kama mtu wa mataifa na mtoza ushuru.