Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 59:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Bila kosa langu wanaenda mbio, kujiweka tayari; Inuka utazame na kunisaidia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Bila ya kosa, hatia au dhambi yangu, wanakimbia, ee Mwenyezi-Mungu, kujiweka tayari. Uinuke, ee Mwenyezi-Mungu, ukatazame na kunisaidia!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Bila ya kosa, hatia au dhambi yangu, wanakimbia, ee Mwenyezi-Mungu, kujiweka tayari. Uinuke, ee Mwenyezi-Mungu, ukatazame na kunisaidia!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Bila ya kosa, hatia au dhambi yangu, wanakimbia, ee Mwenyezi-Mungu, kujiweka tayari. Uinuke, ee Mwenyezi-Mungu, ukatazame na kunisaidia!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Sijatenda kosa; hata hivyo wako tayari kunishambulia. Inuka unisaidie, uone hali yangu mbaya!

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Sijatenda kosa; hata hivyo wako tayari kunishambulia. Inuka unisaidie, uone hali yangu mbaya!

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Bila kosa langu wanaenda mbio, kujiweka tayari; Inuka utazame na kunisaidia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 59:4
13 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa sababu hakika niliibwa kutoka nchi ya Waebrania, wala hapa sikutenda jambo lolote hata wanitie gerezani.


Walio adui zangu bure wasinisimange, Wanaonichukia bila sababu wasining'ong'e.


Uamke, uwe macho ili kunipatia hukumu Kwa ajili ya madai yangu, Mungu wangu na Bwana wangu.


Amka, Bwana, mbona umelala? Ondoka, usitutupe milele.


Utawaharibu wasemao uongo; BWANA humchukia mwuaji na mwenye hila


Je! Wataokoka kwa uovu wao? Ee Mungu, uwaangamize kwa hasira yako.


Maana miguu yao huenda mbio maovuni, Nao hufanya haraka ili kumwaga damu.


Amka, amka, jivike nguvu, Ee mkono wa Bwana; Amka kama katika siku zile za kale, Katika vizazi vile vya zamani.


Miguu yao hukimbilia mabaya, nao hufanya haraka kumwaga damu isiyo na hatia; mawazo yao ni mawazo ya uovu; ukiwa na uharibifu zaonekana katika njia zao kuu.


Basi sasa ninyi pamoja na wazee wa baraza mwambieni jemadari amlete chini kwenu, kana kwamba mnataka kujua habari zake vizuri zaidi; na sisi tuko tayari kumwua kabla hajakaribia.


Miguu yao ina mbio kumwaga damu.


Naye Yonathani akamsifu Daudi kwa Sauli, babaye akamwambia, Mfalme asikose juu ya mtumishi wake, yaani, juu ya Daudi kwa maana yeye hakukosa juu yako, tena matendo yake kwako yamekuwa mema sana.