Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 59:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Uniponye nao wafanyao maovu, Uniokoe na watu wa damu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Uniokoe na hao wanaotenda maovu; unisalimishe kutoka kwa hao wauaji!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Uniokoe na hao wanaotenda maovu; unisalimishe kutoka kwa hao wauaji!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Uniokoe na hao wanaotenda maovu; unisalimishe kutoka kwa hao wauaji!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Uniponye na watu watendao maovu, uniokoe kutokana na wanaomwaga damu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Uniponye na watu watendao mabaya, uniokoe kutokana na wamwagao damu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Uniponye nao wafanyao maovu, Uniokoe na watu wa damu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 59:2
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ee Mungu, laiti ungewaua waovu! Na laiti watu wa damu wangetoka kwangu;


Usiiondoe nafsi yangu pamoja na wakosaji, Wala uhai wangu pamoja na wauaji.


Watenda mabaya waliponikaribia, Wanile nyama yangu, Watesi wangu na adui zangu, Walijikwaa wakaanguka.


Nawe, Ee Mungu, utawateremsha, Wafikie shimo la uharibifu; Watu wa damu na hila hawataishi nusu ya siku zao, Bali mimi nitakutumaini Wewe.


Asije akaipapura nafsi yangu kama simba, Akaniburura hadi pasipokuwa na wa kuniponya.


Ni nani atakayesimama Kwa ajili yangu juu ya wabaya? Ni nani atakayenisaidia Juu yao wafanyao maovu?