Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 59:10 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mungu wa fadhili zangu atanitangulia, Mungu atanijalia kutazama kwa ushindi juu ya adui zangu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mungu wangu utanijia na fadhili zako, utaniwezesha kuwaona maadui zangu wameshindwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mungu wangu utanijia na fadhili zako, utaniwezesha kuwaona maadui zangu wameshindwa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mungu wangu utanijia na fadhili zako, utaniwezesha kuwaona maadui zangu wameshindwa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mungu wangu unayenipenda. Mungu atanitangulia, naye atanifanya niwachekelee wale wanaonisingizia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mungu wangu unipendaye. Mungu atanitangulia, naye atanifanya niwachekelee wale wanaonisingizia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mungu wa fadhili zangu atanitangulia, Mungu atanijalia kutazama kwa ushindi juu ya adui zangu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 59:10
23 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Daudi akamwomboleza Sauli, na Yonathani, mwanawe, maombolezo haya;


Moyo wake umethibitika hataogopa, Hata awaone watesi wake wameshindwa.


Maana umemsogezea baraka za heri, Umemvika taji la dhahabu safi kichwani pake.


Njoni muyatazame matendo ya BWANA, Jinsi alivyofanya ukiwa katika nchi.


BWANA, uniongoze kwa haki yako, Kwa sababu yao wanaoniotea. Uinyoshe njia yako mbele ya uso wangu,


Atawarudishia adui zangu ubaya wao; Uwaangamize kwa uaminifu wako.


Kwa kuwa limeniokoa na kila taabu; Na jicho langu limeridhika Kwa kuwatazama adui zangu.


Adui zangu wanataka kunimeza mchana kutwa, Maana ni wengi wanaonipiga vita.


Hukutanika, hujificha, huziangalia nyayo zangu, Kwa kuwa waliniotea ili waniue.


Ee nguvu zangu, nitakuimbia sifa, Maana Ewe Mungu ndiwe ngome yangu, Mungu wa fadhili zangu.


Usikumbuke juu yetu maovu ya baba zetu, Rehema zako zije kutulaki haraka, Kwa maana tumeteseka sana.


Ila kwa macho yako utatazama, Na kuyaona malipo ya wasio haki.


Na jicho langu limeona kuanguka kwa adui zangu, Sikio langu limesikia maangamizi ya waovu walionishambulia.


Na itakuwa ya kwamba, kabla hawajaomba, nitajibu; na wakiwa bado wanena, nitasikia.


Mimi hapa sikufanya haraka kuacha kuwa mchungaji nyuma yako; wala sikuitamani siku ya maradhi ya kuua; wewe unajua; yaliyotoka midomoni mwangu yalikuwa mbele za uso wako.


Na ahimidiwe Mungu, Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo, Baba wa rehema, Mungu wa faraja yote;


Kwa kuwa tunawaambieni haya kwa neno la Bwana, kwamba sisi tulio hai, tutakaosalia hata wakati wa kuja kwake Bwana, hakika hatutawatangulia wao waliokwisha kulala mauti.


Na Mungu wa neema yote, aliyewaita kuingia katika utukufu wake wa milele katika Kristo, mkiisha kuteswa kwa muda kidogo, yeye mwenyewe atawaimarisha, atawathibitisha, atawatia nguvu na kuwapa msingi imara.


Daudi akasema, Aishivyo BWANA, BWANA atampiga; au siku yake ya kufa itampata; atashuka kwenda vitani na kupotea.