Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 59:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ee Mungu wangu, uniponye na adui zangu, Uniinue juu yao wanaoshindana nami.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ee Mungu wangu, uniokoe na maadui zangu; unikinge na hao wanaonishambulia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ee Mungu wangu, uniokoe na maadui zangu; unikinge na hao wanaonishambulia.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ee Mungu wangu, uniokoe na maadui zangu; unikinge na hao wanaonishambulia.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ee Mungu, uniokoe na adui zangu, unilinde kutokana na hao wanaoinuka dhidi yangu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ee Mungu, uniokoe na adui zangu, unilinde kutokana na hao wanaoinuka dhidi yangu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ee Mungu wangu, uniponye na adui zangu, Uniinue juu yao wanaoshindana nami.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 59:1
16 Marejeleo ya Msalaba  

Kwa ajili ya kuonewa kwao wanyonge, Kwa ajili ya kuugua kwao wahitaji, Sasa nitasimama, asema BWANA, Nitamweka salama yeye wanayemfyonya.


Kwa fadhili zako utawakatilia mbali adui zangu; Na kuwaangamiza wote wanitesao nafsi, Kwa maana mimi ni mtumishi wako.


Ee BWANA, uniponye kutoka kwa adui zangu; Nimekukimbilia Wewe, unifiche.


Huniponya na adui zangu; Naam, waniinua juu yao walioniinukia, Na kuniponya na mtu mjeuri.


BWANA akujibu siku ya dhiki, Jina la Mungu wa Yakobo likuinue.


Unirehemu, Ee Mungu, unirehemu mimi, Maana nafsi yangu imekukimbilia Wewe. Nitaukimbilia uvuli wa mbawa zako, Hadi misiba hii itakapopita.


Ni kweli, enyi wakuu, mnanena haki? Enyi wanadamu, mnahukumu kwa adili?


Ee Mungu wangu, uniponye mkononi mwa mkorofi, Katika mkono wake mwovu na mdhalimu,


Kwa kuwa amekaza kunipenda Nitamwokoa; na kumweka palipo juu, Kwa kuwa amenijua Jina langu.


Huyu ndiye atakayekaa juu; majabali ni ngome yake; atapewa chakula chake; maji yake hayatakoma.