Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 58:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Kama konokono ayeyukaye na kutoweka, Kama mimba iliyoharibika, isiyoliona jua,

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

watoweke kama konokono ayeyukavyo, kama mimba iliyoharibika isiyoona kamwe jua!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

watoweke kama konokono ayeyukavyo, kama mimba iliyoharibika isiyoona kamwe jua!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

watoweke kama konokono ayeyukavyo, kama mimba iliyoharibika isiyoona kamwe jua!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Na wawe kama konokono anayeyeyuka akitembea, kama mtoto aliyezaliwa akiwa mfu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Kama konokono ayeyukavyo akitembea, kama mtoto aliyezaliwa akiwa mfu, wasilione jua.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Kama konokono ayeyukaye na kutoweka, Kama mimba iliyoharibika, isiyoliona jua,

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 58:8
6 Marejeleo ya Msalaba  

Ningalikuwa kama mtu asiyekuwapo; Ningalichukuliwa kaburini kutoka tumboni.


Au, mbona kuzikwa kama mimba iliyoharibika, nisingekuwako; Kama wachanga wasiouona mwanga kabisa.


Mtu akizaa watoto mia moja, akaishi miaka mingi, hata siku za maisha yake zikiwa nyingi, lakini nafsi yake haikushiba mema; tena ikiwa, zaidi ya hayo, amekosa maziko; mimi nasema, Heri mimba iliyoharibika kuliko huyo;


Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu hayatapita kamwe.


bali tajiri kwa kuwa ameshushwa; kwa maana atatoweka kama ua la majani.