Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 58:1 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ni kweli, enyi wakuu, mnanena haki? Enyi wanadamu, mnahukumu kwa adili?

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Enyi watawala, je, mwahukumu kwa haki kweli? Je, mnawahukumu watu kwa adili?

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Enyi watawala, je, mwahukumu kwa haki kweli? Je, mnawahukumu watu kwa adili?

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Enyi watawala, je, mwahukumu kwa haki kweli? Je, mnawahukumu watu kwa adili?

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Enyi watawala, je, kweli mwanena kwa haki? Je, mnahukumu kwa unyofu miongoni mwa watu?

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Enyi watawala, je, kweli mwanena kwa haki? Je, mnahukumu kwa unyofu miongoni mwa watu?

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ni kweli, enyi wakuu, mnanena haki? Enyi wanadamu, mnahukumu kwa adili?

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 58:1
18 Marejeleo ya Msalaba  

Mungu wa Israeli alisema, Mwamba wa Israeli aliniambia, Atawalaye wanadamu kwa haki, Akitawala katika kicho cha Mungu,


Basi wazee wote wa Israeli wakamwendea mfalme huko Hebroni, naye mfalme Daudi akapatana nao huko Hebroni mbele za BWANA; wakamtia Daudi mafuta awe mfalme juu ya Israeli.


Unirehemu, Ee Mungu, unirehemu mimi, Maana nafsi yangu imekukimbilia Wewe. Nitaukimbilia uvuli wa mbawa zako, Hadi misiba hii itakapopita.


Ee Mungu wangu, uniponye na adui zangu, Uniinue juu yao wanaoshindana nami.


Tazama, mfalme atamiliki kwa haki, na wakuu watatawala kwa hukumu.


Kisha BWANA akamwambia Musa, Nikusanyie watu sabini, miongoni mwa wazee wa Israeli, ambao wewe unawajua kuwa ndio wazee wa watu hawa, na viongozi juu yao; ukawalete katika hema ya kukutania, wasimame huko pamoja nawe.


Wakati ule wakuu wa makuhani, na wazee wa watu, wakakusanyika katika behewa ya Kuhani Mkuu, jina lake Kayafa;


Na ilipokuwa asubuhi, wakuu wa makuhani wote na wazee wa watu wakafanya shauri juu ya Yesu, wapate kumwua;


Nao waliposikia wakaenda alfajiri hekaluni, wakaanza kufundisha. Akaja Kuhani Mkuu nao waliokuwa pamoja naye, wakawakutanisha watu wa baraza, na wazee wote wa wana wa Israeli, wakatuma watu gerezani ili wawalete.