Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 57:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Amka, ee moyo wangu. Amka, kinanda na kinubi, Nitaamka alfajiri.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Amka, ee nafsi yangu! Amkeni, enyi kinubi na zeze! Nitayaamsha mapambazuko!

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Amka, ee nafsi yangu! Amkeni, enyi kinubi na zeze! Nitayaamsha mapambazuko!

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Amka, ee nafsi yangu! Amkeni, enyi kinubi na zeze! Nitayaamsha mapambazuko!

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Amka, nafsi yangu! Amka, kinubi na zeze! Nitayaamsha mapambazuko.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Amka, nafsi yangu! Amka, kinubi na zeze! Nitayaamsha mapambazuko.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Amka, ee moyo wangu. Amka, kinanda na kinubi, Nitaamka alfajiri.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 57:8
11 Marejeleo ya Msalaba  

Wakafika Yerusalemu wenye vinanda, vinubi na parapanda kwenda nyumbani kwa BWANA.


Msifuni kwa mvumo wa baragumu; Msifuni kwa kinanda na kinubi;


Kwa hiyo moyo wangu unafurahi, Nayo nafsi yangu inashangilia, Naam, mwili wangu nao utakaa kwa kutumaini.


Na sasa kichwa changu kitainuka Juu ya adui zangu wanaonizunguka. Nami nitatoa dhabihu za shangwe hemani mwake; Nitaimba, naam, nitamhimidi BWANA.


Ili nafsi yangu ikusifu, Wala isinyamaze. Ee BWANA, Mungu wangu, Nitakushukuru milele.


Hivyo nitakwenda madhabahuni kwa Mungu, kwa Mungu aliye furaha yangu na shangwe yangu; Nitakusifu kwa kinubi, Ee MUNGU, Mungu wangu.


Amka, amka, jivike nguvu zako, Ee Sayuni; Jivike mavazi yako mazuri, Ee Yerusalemu, mji mtakatifu; Kwa maana tokea sasa hataingia ndani yako Asiyetahiriwa, wala aliye najisi.


Pigeni kelele za furaha, imbeni pamoja, Enyi mahali pa Yerusalemu palipokuwa ukiwa; Kwa kuwa BWANA amewafariji watu wake, Ameukomboa Yerusalemu.


Kwa hiyo moyo wangu ukapendezewa, ulimi wangu ukafurahi; Tena mwili wangu nao utakaa katika matumaini.


Amka, amka, Debora; Amka, amka, imba wimbo. Inuka, Baraka, wachukue mateka wao Waliokuchukua mateka, Ee mwana wa Abinoamu.