Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 56:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Mchana kutwa wanapotosha maneno yangu, Mawazo yao yote ni juu yangu kunitakia mabaya.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Mchana kutwa wanapotosha kisa changu; mawazo yao yote ni ya kunidhuru.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Mchana kutwa wanapotosha kisa changu; mawazo yao yote ni ya kunidhuru.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Mchana kutwa wanapotosha kisa changu; mawazo yao yote ni ya kunidhuru.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mchana kutwa wanayageuza maneno yangu, siku zote wanapanga njama za kunidhuru.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mchana kutwa wanayageuza maneno yangu, siku zote wanapanga shauri la kunidhuru.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Mchana kutwa wanapotosha maneno yangu, Mawazo yao yote ni juu yangu kunitakia mabaya.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 56:5
17 Marejeleo ya Msalaba  

Basi Eliya akaenda ili ajioneshe kwa Ahabu. Na njaa ilikuwa nzito katika Samaria.


BWANA yuko upande wangu, sitaogopa; Mwanadamu atanitenda nini?


Wote wanaonichukia wananong'onezana juu yangu, Wananiwazia yaliyo mabaya zaidi.


Ambao wanazitumainia mali zao, Na kujisifia wingi wa utajiri wao;


Hapo ndipo waliposema, Njooni na tufanye mashauri juu ya Yeremia; maana sheria haitampotea kuhani, wala shauri halitampotea mwenye hekima, wala neno halitampotea nabii. Njooni, na tumpige kwa ndimi zetu, wala tusiyaangalie maneno yake yoyote.


Ndipo Mafarisayo wakaenda zao, wakafanya shauri, jinsi ya kumtega kwa maneno.


Na baadaye wawili wakatokea, wakasema, Huyu alisema, Naweza kulivunja hekalu la Mungu, na kulijenga kwa siku tatu.


wakimvizia, ili wapate neno litokalo kinywani mwake.


Yesu akajibu, akawaambia, Livunjeni hekalu hili, nami katika siku tatu nitalisimamisha.


akisema juu ya mambo haya kama afanyavyo katika barua zake zote pia, katika barua hizo yamo mambo ambayo ni vigumu kuyaelewa na mambo hayo watu wasio na elimu, wasio imara, huyapotoa, kama vile wapotoavyo Maandiko mengine, na kujiletea maangamizi wao wenyewe.


Kisha Sauli akamwambia Daudi, Tazama, binti yangu mkubwa, Merabu, huyu nitakupa wewe ili umwoe; ila na wewe uniwie hodari wa vita, na kuvipiga vita vya BWANA. Maana Sauli alisema moyoni mwake, Mkono wangu usiwe juu yake, bali mkono wa Wafilisti na uwe juu yake.


Naye Sauli akasema moyoni, Mimi nitamwoza huyu, awe mtego kwake, tena kwamba mkono wa Wafilisti uwe juu yake. Basi Sauli akamwambia Daudi mara ya pili, Leo utakuwa mkwe wangu.


Naye Sauli akazidi kumwogopa Daudi; tangu wakati huo, Sauli akawa adui yake Daudi daima.


Sauli akamtupia mkuki wake ili kumpiga; basi Yonathani akajua ya kuwa baba yake ameazimia kumwua Daudi.


Basi, akisema, Ni vema, mimi mtumishi wako nitakuwa na amani; bali akikasirika, ujue ya kuwa amekusudia kutenda jambo baya.