Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 55:8 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ningefanya haraka kuzikimbia Dhoruba na tufani.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Ningekimbilia mahali pa usalama, mbali na upepo mkali na dhoruba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Ningekimbilia mahali pa usalama, mbali na upepo mkali na dhoruba.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Ningekimbilia mahali pa usalama, mbali na upepo mkali na dhoruba.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

ningeharakisha kwenda mahali pa salama, mbali na tufani kali na dhoruba.”

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

ningaliharakisha kwenda mahali pa salama, mbali na tufani kali na dhoruba.”

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ningefanya haraka kuzikimbia Dhoruba na tufani.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 55:8
4 Marejeleo ya Msalaba  

Kamba za mauti zilinizunguka, Mafuriko ya uovu yakanitia hofu.


Kisha kutakuwa na hema kuwa uvuli wakati wa mchana kwa sababu ya joto, na kuwa mahali pa kukimbilia na kujificha wakati wa tufani na mvua.