Ningefanya haraka kuzikimbia Dhoruba na tufani.
Ningekimbilia mahali pa usalama, mbali na upepo mkali na dhoruba.
ningeharakisha kwenda mahali pa salama, mbali na tufani kali na dhoruba.”
ningaliharakisha kwenda mahali pa salama, mbali na tufani kali na dhoruba.”
Kamba za mauti zilinizunguka, Mafuriko ya uovu yakanitia hofu.
Kisha kutakuwa na hema kuwa uvuli wakati wa mchana kwa sababu ya joto, na kuwa mahali pa kukimbilia na kujificha wakati wa tufani na mvua.