Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 55:4 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Moyo wangu unaumia ndani yangu, Na hofu za mauti zimeniangukia.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Moyo wangu umejaa hofu, vitisho vya kifo vimenisonga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Moyo wangu umejaa hofu, vitisho vya kifo vimenisonga.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Moyo wangu umejaa hofu, vitisho vya kifo vimenisonga.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Moyo wangu umejaa uchungu, hofu za mauti zimenishambulia.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Moyo wangu umejaa uchungu, hofu ya kifo imenishambulia.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Moyo wangu unaumia ndani yangu, Na hofu za mauti zimeniangukia.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 55:4
14 Marejeleo ya Msalaba  

Na Shimei alipolaani, alisema hivi, Nenda zako! Nenda zako! Ewe mtu wa damu! Ewe mtu usiyefaa!


Kamba za mauti zilinizunguka, Shida za kuzimu zilinipata. Nilipata dhiki na mateso;


Watesi wangu hunitukana mithili ya kuniponda mifupa yangu, Pindi wanaponiambia mchana kutwa, Yuko wapi Mungu wako?


Na nafsi yangu imefadhaika sana; Na Wewe, BWANA, hadi lini?


Laumu imenivunja moyo, Nami ninaugua sana. Nikangoja aje wa kunihurumia, wala hakuna; Na wa kunifariji, wala sikumwona mtu.


Maana nafsi yangu imeshiba taabu, Na uhai wangu umekaribia kuzimu.


Sasa roho yangu imefadhaika; nami nisemeje? Baba, uniokoe katika saa hii? Lakini ni kwa ajili ya hayo nilivyoifikia saa hii.


Yeye, siku hizo za mwili wake, alimtolea yule, awezaye kumwokoa na kumtoa katika mauti, maombi na dua pamoja na kulia sana na machozi, akasikilizwa kwa jinsi alivyokuwa mcha Mungu;