Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 55:16 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Nami nitamwita Mungu, Na BWANA ataniokoa;

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Lakini mimi namlilia Mungu, naye Mwenyezi-Mungu ataniokoa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Lakini mimi namlilia Mungu, naye Mwenyezi-Mungu ataniokoa.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Lakini mimi namlilia Mungu, naye Mwenyezi-Mungu ataniokoa.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Lakini ninamwita Mungu, naye Mwenyezi Mungu huniokoa.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Lakini ninamwita Mungu, naye bwana huniokoa.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Nami nitamwita Mungu, Na BWANA ataniokoa;

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 55:16
6 Marejeleo ya Msalaba  

Badala ya upendo wangu wao hunishitaki, Ijapokuwa niliwaombea.


Uniite siku ya mateso; Nitakuokoa, nawe utanitukuza.


Nami kumkaribia Mungu ni kwema kwangu; Nimefanya kimbilio kwa Bwana MUNGU, Niyahubiri matendo yako yote.


Ataniita nami nitamwitikia; Nitakuwa pamoja naye taabuni, Nitamwokoa na kumtukuza;


Basi wao, na wote waliokuwa nao, wakashukia shimoni wakiwa hai; nayo nchi ikawafunika wakaangamia kutoka mle mkutanoni.