Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 54:5 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Atawarudishia adui zangu ubaya wao; Uwaangamize kwa uaminifu wako.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Yeye atawaadhibu maadui zangu kwa uovu wao wenyewe; kwa uaminifu wako, ee Mungu, uwaangamize.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Yeye atawaadhibu maadui zangu kwa uovu wao wenyewe; kwa uaminifu wako, ee Mungu, uwaangamize.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Yeye atawaadhibu maadui zangu kwa uovu wao wenyewe; kwa uaminifu wako, ee Mungu, uwaangamize.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Mabaya na yawarudie wale wanaonisingizia, kwa uaminifu wako uwaangamize.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Mabaya na yawarudie wale wanaonisingizia, kwa uaminifu wako uwaangamize.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Atawarudishia adui zangu ubaya wao; Uwaangamize kwa uaminifu wako.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 54:5
11 Marejeleo ya Msalaba  

Ee binti Babeli, uliye karibu na kuangamia, Heri atakayekupatiliza, ulivyotupatiliza sisi.


Ee BWANA, uisikie sala yangu, uzisikilize dua zangu Unijibu Kwa uaminifu wako, Unijibu kwa haki yako.


Kwa fadhili zako utawakatilia mbali adui zangu; Na kuwaangamiza wote wanitesao nafsi, Kwa maana mimi ni mtumishi wako.


Ee BWANA, unifundishe njia yako, Na kuniongoza katika njia iliyonyoka; Kwa sababu yao wanaoniotea;


Mpendeni BWANA, Ninyi nyote mlio watauwa wake. BWANA huwahifadhi waaminifu, Bali humlipiza mwenye kiburi ipasavyo.


BWANA, uniongoze kwa haki yako, Kwa sababu yao wanaoniotea. Uinyoshe njia yako mbele ya uso wangu,


Ee Mungu, wenye kiburi wamenishambulia; Kundi la watu wakatili wanataka kuniua. Wala hawakukuweka Wewe Mbele ya macho yao.


Bwana, ziko wapi fadhili zako za kwanza, Ulizomwapia Daudi kwa uaminifu wako?


Naye atawarudishia uovu wao, Atawaangamiza katika ubaya wao, Naam, BWANA, Mungu wetu, atawaangamiza.


Iskanda, mfua shaba, alionesha ubaya mwingi kwangu; Bwana atamlipa kulingana na matendo yake.


Mlipeni kama yeye alivyolipa, mkamlipe mara mbili kwa kadiri ya matendo yake. Katika kikombe kile alichokichanganyisha, mchanganyishieni mara mbili.