Biblia ya mtandaoni

Matangazo


Biblia nzima Agano la Kale Agano Jipya




Zaburi 54:2 - Swahili Revised Union Version - SRUVDC

Ee Mungu, uyasikie maombi yangu, Uyasikilize maneno ya kinywa changu.

Tazama sura

Matoleo zaidi

Biblia Habari Njema

Uisikie, ee Mungu, sala yangu; uyategee sikio maneno ya kinywa changu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema - BHND

Uisikie, ee Mungu, sala yangu; uyategee sikio maneno ya kinywa changu.

Tazama sura

Biblia Habari Njema: Toleo la Kujifunza

Uisikie, ee Mungu, sala yangu; uyategee sikio maneno ya kinywa changu.

Tazama sura

Neno: Bibilia Takatifu

Ee Mungu, sikia maombi yangu, usikilize maneno ya kinywa changu.

Tazama sura

Neno: Maandiko Matakatifu

Ee Mungu, sikia maombi yangu, usikilize maneno ya kinywa changu.

Tazama sura

BIBLIA KISWAHILI

Ee Mungu, uyasikie maombi yangu, Uyasikilize maneno ya kinywa changu.

Tazama sura
Tafsiri zingine



Zaburi 54:2
7 Marejeleo ya Msalaba  

Ee BWANA, Mungu wangu, uangalie, uniitikie; Uyatie nuru macho yangu, Nisije nikalala usingizi wa mauti.


Bwana, uisikie sauti yangu. Masikio yako na yaisikilize Sauti ya dua zangu.


Ee BWANA, unijibu hima, roho yangu imelegea; Usinifiche uso wako, Nisifanane nao washukao shimoni.


Ndipo wale Wazifi wakakwea kwa Sauli huko Gibea, wakasema, Je! Yule Daudi hakujificha kwetu ngomeni mwa Horeshi, kilimani pa Hakila upande wa kusini wa Yeshimoni?


Basi hao Wazifi wakamwendea Sauli huko Gibea, wakasema, Je! Yule Daudi hakujificha katika kilima cha Hakila, kuelekea Yeshimoni?